Swahili Service Charter

 

BARAZA LA WILAYA YA MAKUENI

 

RUWAZA

Tunatazamia kuwepo na jamii isiyo na umasikini.

MAAZIMIO

Tupo kuendeleza mfumo endelevu wa uchumi Jamii kwa kutoa huduma tegemevu, bei zifaazo na huduma bora faavu kwa mazigira ya watu wa eneo la Makueni.

WAJIBU

Utaalamu wa kazi, ubunifu na elimu endelevu, ushirikiano na utangamano wa kikazi, matokeo bora ya kazi na kuboresha uongozi.

 

HUDUMA TUNAZOTOA

JUKUMU LA WATEJA WETU

MALIPO YA HUDUMA

MUDA WA HUDUMA KUTOLEWA

1.

Jutoa lezeni za biashara

Kulipa lezeni kwa wakati ufaao

Kulingana na ratiba namba 9

Siku kumi na nne (14)

2.

Kutoza ada kwa wauzaji katika masoko

Kulipa ada kwa lango la soko

Kulingana na notisi katika gazeti la serikali ya mtaa

Siku za soko/wakati wa soko

3.

Meza ya huduma kwa wateja

Nyakati za kazi

Hakuna ada

Kwa dakika tano (5)

4. 

Majobu ya simu

-

Hakuna ada

Kwa milio mitatu ya simu

5.

Malipo ya huduma zozote kwa baraza

Kutoa kamili na sahihi

Kulingana na notisi katika gazeti la serikali ya mtaa

Kwa dakika tano (5)

6.

Kuhidhimisha usajili wa shule

Kujaza fomu za usajili na kukabilisha

Elfu nne (4,000/=)

Siku thelathini (30)

7.

Mazingira:

(a)      Usafi wa masoko na barabara za miji

(b)      Kuzoa pipa za taka

(c)       Kuokota taka

 

(d)      Usafi wa vyoo vya umma

 

Kufuata sheria za baraza

 

Kufuata sheria za baraza

Kufuata sheria za baraza

Kufuata sheria za baraza

 

 

Hakuna ada

 

 

Hakuna ada

 

200/= kwa mwaka

 

Hakuna ada

 

 

Siku moja

 

 

Kila juma

 

Kila juma

 

Siku moja kabla na baada ya siku za soko

8.

Kutunza barabara

-

Hakuna ada

Endelevu

9.

Ramani ya mji:

(a)      Kuhidhinisha ramani

 

 

(b)      Mauzo ya kumbukumbu

 

 

(c)       Kushughulikia cheti cha idhini, kuhidhinisha mabadiliko ya wenye ploti na ugawanyaji

 

 

 

 

 

Kutoa habari kamili na sahihi

 

 

Rekodi

 

Kulingana na notisi katika Gazeti la Serikali ya mtaa

 

Kulingana na notisi katika Gazeti la Serikali ya mtaa

 

Kulingana na notisi katika Gazeti la Serikali ya mtaa

 

 

 

Siku thelathini (30)

 

 

Dakika ishirini (20)

 

 

Siku moja (1)

 

Siku thelathini (30)

10.

Kuanzisha miradi

Kuangalia na kutoa ripoti

Hakuna ada

Kulingana na ruzuku ya mwaka

11.

Kupokea kwa barua na kujibu

-

Hakuna ada

Siku kumi (10)

12.

Ununuzi wa bidhaa na huduma kwa njia shindani na uwazi

-

Hakuna ada

Endelevu

 
Tunapatikana kwa anwani:

S.L.P. 78 – 90300

MAKUENI.

SIMU: 044-33329  Nukulishi:  044-33391

Mdahilishi:  makuenicounty@yahoo.co.ke

Mwongozo wetu:  Umoja ni nguvu

Falsata:                 Huduma bora ni haki yako

AttachmentSize
SERVICE CHARTER-KISWAHILI.doc46 KB